Dashboard Builder for Access 2.0 Antivirus Report

Wednesday, February 2, 2011

 KANUNI   INAYOTUMIWA  NA WANASIASA  WENGI  KUWAMALIZA   MAADUI  ZAO:

Mihemuko ya kisiasa kama wewe ni mwanasiasa na haupo imara na jasiri(makini) inaweza kukupelekea kuchafuka na kutokuwa na thamani kwa wateja  ambao ni wananchi wapiga kura wan chi yako au jimbo na kata yako,siasa ni biashara kama zilivyo biashara nyingine mfano kuna muuza sera na wanunua sera kwa hiyo mwanasiasa ni mfanyabiashara wa kuuza sera wananchi  ni wateja,nimekuwa karibu kufuatilia siasa za Afrika,east Europe,Asia,Uarabuni,na nchi za magharibi ambapo ndipo wanafilisophia wa demokrasia wengi wametokea huko,na katikamaeneo haya yote siasa zinatofautia hii inatokana na sababu nyingi sana za msingi baadhi ni umriwa demokrasia katika bara na nchi husika,utamaduni, na uhuru wa maamuzi kwa wananchi na vingozi wanchi,mara kadhaa nimeshudia wateja wa wanasiasa wakiwashusha thamani wanasiasa na kuwapandisha lakini siri nzito huwa inabaki ndani wale wanaopanga mara  nyingi katika kila maamuzi asilima themanini huwa ndio waanga wa jambo lolote lile,kuna sehemu kama nchi za SADC  wapinzani mara zote hutumia principle za kisaikologia za kisiasa katika kutimiza haja zao japo bado idadi sii kubwa sana ya wanasisiasa wanaojua nini maana ya demokrasia na uchaguzi,katika kanuni zote nii hii ambayo mimi huiita” pima”yaani  ya kumtupia adui mtu(mpizani wako)neon la kashfa Fulani au neon la mtego na kama mpizani wako si makini ataingia kichwa kichwa kukujibu na na kujikanyaga kanyaga kukupatia nguvu ya wewe kuweza kusonga mbele   na kukuacha wewe umeshuka thamani k awateja wako  hapa sina maana kuwa unatakiwa kuwa kimya muda wote  bali upo katika mazungumzo gani?mwaka 2010 novemba  Obama  raisi wa marekani  nchi yake siri za ubalozi zake zilivujishwa lakini yeye kama yeye alikaa kimya kutojibu chochote maana yake jibu au maoni yake na msimamo wa serikali yake ungelete mzozo dunia nzima maana hapa kuna watu wampinga Lusian Assange na watu  wengine  wanataka uhuru  wa vyombo vya habari na wote wana  hoja  za msingi kulingana  na wote hawa,hivyo kama thamani yake ingeweza kuporomoka kwa kasi kubwa sana,Kitaalamu mtu akikutupi neon baya na wewe ukiruhusu kupita jambo hilo kupita ndani ya sehemu za ufahamu kao na nafsini kwako huwa ndoo kamba ya kujinyonga nao umejitundika nayo, hapa kweli mara nyingi watu hufanya makosa kwa kuchanganya kupita kiasi malengo yao dhidi ya matatizo ,sasa ndugu yangu napenda kukuambia kuwa  angalia ni mada ipi unaenda kuzungumza na watu zaidi ya wawili au jamii na wewe unanafasi gani katika hilo usije ukajifanya wewe ni redio mbao ukaishia  huna thamani,Nchini Tanzania katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 october  mkurugezi wa jeshi la wananchi wa Tanzania aliwahi kuogea kwa mihemko  ya kijeshi  kuonyesha kama anakilalia chama Fulani mfano CHADEMA  ,alichofanya DR Slaa ni kutumia nafasi hiyo kumtupia neon lisilo la kumuhukumu bali ni kumtega ili aende katika vyombo vyombo ya habari ili ajibu na kujikanyaga Dr Slaa alimuuliza aseme  fedha za meremeta na nyingine aleze ziko wapi?kwa saikolojia ya wengi walikuwa wanategemea mkurugezi wa jeshi angejibu bali  hakujibu,lakini kila pale Dr  Slaa alipoendele kumchokonoa  ili mkurugenzi lakini mkurugezi aliendelea kukuaa kimya  maana mkurugezi wa jeshi  alikuwa anajua kama angejibu basi ingekuwa ni kitanzi chake  kwani lilokuwalinafuata ni yeye kupoteza thamani,umarufu kwamaana hata kama vipi yeye yupo sahihi watu hawataweza kumuelewa yeye.Mara nyingi kuna watu maarufu Tanzania wamekuwa na kashfa nyingi   kupitia magazeti na mwishoe kupoteza wateje wao na  umaarufu wao nchi nzima na watu kuwaona kichefuchefu  hii ni kutokana na wao kidogo tu wakiandikwa vibaya wanakimbilia katika vyombo hivyo hivyo kujibu wakifiri wametatua tatizo kumbe wameliongezea hatua tatizo,ndugu yangu najua elimu juu utumizi wa vyombo vyombo  vya habari Tanzania bado ni ndogo,tumia sasa vyombo hivi kukujemnga wewe na sio kukubomoa penda hisia zako mfano umechukia usionyeshe tawala hisia zako,kuwa mtu kuongea chanya muda wote,kama huna neon lolote nzuri kwa Fulani au kwako usiogee kabisa siku hiyo,kuwa huru na maneno ya watu wewe ni tofauti na wengine.Mtu aliyekuwa huru ni mtu anayefanya maamuzi yake kwa kutakari tamani sasa kuwa makini kwa lolote lile ambalo unakutana nalo katika  sekta ya siasa
.

No comments:

Post a Comment

THIS IS YOUR PLACE TO COMMENT