kwa kuiga”hakuna jambo
TUEPUKE KUISHI KWAMAJIBU TUISHI KWA MALENGO YETU:
Katika jamii tunamoishi kuna mambo mengi mazuri na mabaya hakuna jamii iliyo kamili pasipo doa,lakini
Katika jamii tunamoishi kuna mambo mengi mazuri na mabaya hakuna jamii iliyo kamili pasipo doa,lakini
jambo la msingi najiuliza swali katika jamii yangu ya kiafrika kwa nini hatuendelei?katika tafakari ya
ngu na tafiti zangu kwa kujinasibu kabisa niligundua sisi Afrika tunapenda kuishi kimajbu kuliko
kisulu na kusababisha kuchelewa kwa uvumbuzi na kuwa na mambo machache sana yale yale
yaliyozoeleka na ya kawaida sna kwa jamii za wenzetu,mathalani katika kila sekta na sehemu wengi
mtu akianzisha jambo wengine wanaiga au kujibu kutengeneza jambosawa na lile,ofisi fulani
ikianzisha system fulani ya mfano kutunza vitabu vya uhasibu zingine zinajibu kwa kuanzisha
programu sawa wakati programu zipo kibao sana,au katika mtaa ukinunua nguo fulani sana sana kwa
akina mama jirani yake haraka haraka kesho anaenda dukani na kununua na kadhalika,haya ndugu
yangu si maisha ambayo tumeitiwa ,maana kila mtu duniani yupo tofauti na mwingine hapa
duniani,huwezi kuniambia kikwete akaweza kufanya sawa kama nyerere kamwe haiweekani,kila
mwanadamu yupo unique kutoka kwa mwingine ndoo maana unakuta wanafunzi darasani mwanafunzi
alikuwa wa mwisho lakini katika michezo anashika nambo moja.Nndugu yangu acha kuiga au kulipa
kisasi fuata malengo yako yanavyosema kwani ukiiga unakuwa na photocopy tu original ya jambo hilo
lile huwa anakuwa analoyule mwanzishaji wa jambo,kuna mwanazuoni mmoja anasema kama kama
hujui mwekekeo unaoelekea njia yeyote inaweza kukuchua kwa kuwa huna malengo ya unapoelekea.
Ndugu yangu kuwa na msimamo wako,tafuata sasa kuwa na mtazamo chanya hasa pale watu
wanafikiri haiwezekani wewe tafuta kuweza na kisha utaona jinsi utakavyofanikiwa kimaajabu,ndugu
yangu maneno huumba unavyofikiria ndivyo itakavyo kuwa tafuta sasa suluhu,watu wengi hawapendi
kwenda ile njia ngumu wanapenda raisi ndoo maana wanaishi kimajibu”
zuri lenye mafanikio duniani linakuja kirahisi raisi,acha sasa fikra ya kusema nataka kuwa kama
mfanya biashara fulani hujui alipoanzia na kupata fedha zake,taka kuwa kama wewe kwa kuwa hakuna
kama wewe duniani na hakuna uliyefanana naye duniani ila kuna mambo ya kujifunza kutoka kwa
wengine hapo jifunze lakini sio kuiga tena kiharamia,fursa zipo nyingi sana hapa afrika kuliko sehemu
nyingine duniani anza sasa kuzichangamkia ,kuna mwanafuzi mmoja wa nairobi university alikuwa
ananiambia Deo nikiitizama Afrika naitamani kwa kuwa nisehemu rahisi ya kutengeneneza fedha ,acha
fikra za kwenda ulaya ukifiri utakuwa tajiri ,jiulize matajiri wa kuwe wana mifumo tayari ya kufyonza
fedha katika vyanzo kedekede je utaweza pambana nao kama wewe huna mfumo wa kufyonza fedha?
acha lalamika eti huna mtaji haichukui fedha kutengeneza fedhe bali inachua wazo kutengeneza
fedha,anza kidogo na wazo lako la kibiashara na kisha lifanyie kazi utaona kama hutofanikiwa ndugu
yangu wazo ni fedha changamkia sasa itakuwa nikweli kwako msemo wa Disraeli kuwa Life is too
shot to be small,na kuelekea kwenya mafanikio mar nyingi unakutana na upinzani mkali unaweza
kuwa wa kiroho,familia,na unaweza kuwa wa wazi wazi au ulijificha lakini upo,usipo kuwa makini
unaweza kutafuta majibu pasipo kutafuta suluhu,wengi matajiri wa sasa hapa mjini mfano kariakoo na
posta walikuwa na idea ya kujenga maghofa lakini mtaji walikuwa nao mdogo,lakini walijua punde tu
watakapo jenga msingi wateja watajitokeza kuja kuweka order nahatimaye wale wateja waliokuwa
wanaweka order ndio waliokuwa wana toa fedha ilikuwa inamalizia jengo nzima hii ndio siri kubwa
duniani ndugu yangu,ideas ndizo zinatengeneza fedha na sio fedha kutengeneza fedha,amka usingizini
karibu katika dunia ya mafanikio karibu karibu ,tiketini wazo lako la kibiashara hiyo ndio dira yako
iweke kwa maandishi maana ni ramani ya njia utakayo pita isije njia nyinge ikaja ikakuzoa zoa.
No comments:
Post a Comment
THIS IS YOUR PLACE TO COMMENT