Dashboard Builder for Access 2.0 Antivirus Report

Thursday, December 23, 2010



                                        MAFANIKIO HAYAJI PALE ULIPO UNAFUATA:
Mwenda  buresi kama mkaa bure,huwa anaogeza maarifa na kujifuza zaidi mithali ya Kiswahili inamaana kubwa sana ,ni ndoto au wishes za kila mtu kuwa na mafanikio makubwa sana duniani,lakini kuna tofauti na watu wenye  malengo yaliondikwa kwa karatasi na kuanza kuyatekeleza hawa hugeuza wachotaka kuwa  kuwa kweli  nakuruhusu  mabadiliko ya mafanikio  katika maisha yao,dunia ilivyo sasa ni utandawazi ,taarifa ndio ufunguo wa maisha na sio elimu tena kama ilivyokuwa awali kama huna taarifa juu jambo Fulani basi sahau kuhusu hilo jambo kulifanikisha,mathalani  nilikuwa Kenya nilikutana na Wagerman wengi sana lakini kilichonifurahisha wengi wao walikuwa ni wanafunzi wa political science,sababu tu pekee walioniambia kwa nini walienda Kenya ilikuwa  ni kutaka kuwa bora katika soko laajira linalowangoje baadaye,katika hali za kawaida  mara nyingi huwa tunasikia matangazo ya ajira za kimatifa lakini ni wangapi ndugu zetu huwa wanafikia viwango vyakuchaguliwa  achana na vile vya kisiasa ambavyo huwa tu mtu huchagua kwa kuwa alijifunga na ahadi zake tuje hizi unaenda kushindana na wenzako mnapewa nafasi sawa wengi huishia sakafuni sababu tu  ya kile wanachokijua bado ni kidogo,ndugu zetu huwa  mara nyingi wanaoshiriki  mashindano ya kimataifa  mfano zain Africa challenge huwa hurudi ni kwa sababu tu wamekosa nini jiulize?mara nyingi ndugu zetu huishia kusoma na kukariri sana na kusahau kuwa mbona wapinzani wao hawatumii njia wanayotumia  huwa watu wan chi zinazochukuwa huwa  wanafunzi wao  huwa yale maswali wanayoulizwa huwa ni maisha yao  ya kila siku na sio kama kuanza kuingia mitandaoni kusoma na kwa kukesha .
   Ndugu yangu kwa mantiki hii dunia  imekuwa utandawazi,watu sasa wanapigania kuijua mitaa ya hiki kijiji ili wajue ni jinsi gani wataweza kusurvive katika hiki kijiji,kama wewe unafahamu tu mkoani kwao tu,je jiulize leo utaweza kushindana kibiashara,soko la ajira na mtu aliyetembea nchi zaid kumi?utapotea na kumezwa tu kwa maana huyu  aliyetembea ,mitaa mingi zaidi anaijua njia vema,kwa namna yeyote ile ufuhamu utatofautiana,huyu atakuwa na kadunia kake na Yule atakuwa na dunia yake ,ni muda sasa wa kuchukua hatua ndugu yangu ,utafiti unaonyesha watu  ambao wameishi katika makazi yao toka wazaliwe na kuishi hapo hapo mpaka uzeeni kwao uwelewa wao wa mambo  unakuwa mdogo na wakubabaisha,na pia mimi nasema kuwa mafanikio yao ni madogo  huishia katka janga la umasikini wa kujitakia maana ndio umasikini afrika upo,katika uchunguzi wangu niliufanya katika kulinganisha watu wa aina mbili mmoja kaishi ulaya na mwingine kaishi Tanzania  umri wao wote niligundua tofauti ya uelewa ipo kubwa kati ya pande mbili,hivyo katika  watu wanaoishi kijiji kimmoja maisha yao yote hapa Tanzania   na wale waliohama kijiji mara kwa mara ulewa wao na mafanikio yao huwa ni tofauti ndugu yangu tupo katika dunia mambayo ni lazima  ili ufanikiweuweze kujua wezako wako wapi ili uweze wewe kupiga hatua,hii  ndoo jibu tosha la wewe kuweza kufunguka maishani mwako exposure ni muhimu,katika nchi yetu inasemekana kuwa asilimi kubwa  ya waliopata exposure nje ya nchi ndoo waiendesha  nchi hii    ndugu yangu napenda kukuambia kuwa kuwa mafanikio hayaji tu pale ulipo bali wewe unayafuata yalipo,acha kuku mtaani muda wote,acha kukuaa nyumbani masaa yote toka nje uyafuate mafanikio jichangane katika social event,music concerts,national events na kadhalika utapata kufunguka hakika,acha leo kuwa na maisha ya pembe tatu,yaani kuwa na ratiba fixed,mfano ukitoka kazini au shuleni unaelekea nyumbani na sehemu ya mwisho kuhudhuria ni maeneo ya dini,haya sio maisha ni kama upo kwenye gerza lako wewe mwenyewe,jifungue sasa upate kufunguka na kufanikiwa,mathalani kama wewe ni majsiriamali anza sas kuhuudhuria international event/exhibition,penda kujuana na wengi pasipo kikomo,kuwa tayari ya kulipia gharama ya mafanikio yako an uweze kupata funguo ya mafanikio yako.

No comments:

Post a Comment

THIS IS YOUR PLACE TO COMMENT